| Haya ni maneno yaliyoandikwa katika magari hayo. |
| Mbunge wa jimbo la Hai,Freeman Mbowe akiwa amembeba mtoto mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Kuni na kulakiwa na wananchi katika jimbo hilo. |
| Magari ya wagonjwa yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Hai kwa ajili ya wagonjwa jimboni humo. |
| Muonekano wa ndani wa magari hayo ya kubebea wagonjwa . |
| Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria shighuli ya makabidhiano iliyofanyika katika uwanja wa Kuni ,Bomang'ombe wilayani Hai. |
| Wananchi wakiwa wamezingira magari hayo wakiyatizama kwa karibu. |
No comments:
Post a Comment