Sunday 3 January 2016

Kumbu kumbu ya Uchaguzi wa Zanzibar na anguko la Wahafidhina wa CCM Zanzibar












DSC00233
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Moh’d Shein akipakwa wino maalum na Msimamizi wa kituo mara baada ya kumaliza zoezi zima la upigaji wa kura katika kituo cha Kibele nje kidogo ya mji wa Zanzibar  tarehe 25.10.2015.


 
DSC04023
Wapiga Kura wakihakiki majina yao katika daftari la kudumu la wapiga kura kabla ya kwenda katika vituo vyao vya kupigia Kura.
DSC04034
Afisa wa kituo Nam 2 shehia ya Tumbatu Gomani Ndg. Ali Kombo Machano akionesha Sanduku Tupu la Kupigia Kura kwa wapiga kura wa kituo hicho ikiwa ni hatua ya ufunguaji wa kituo cha kupigia kura tarehe25/10/2015.
DSC04067
Mapema tarehe 25/10/2015 wanakijiji cha Tumbatu wakiwa wamejipanga mstari kwa utulivu kusubiri zoezi la kupiga Kura.
DSC04085
Mpiga kura akitumbukiza karatasi yake ya kura  ndani ya sanduku la kura za udiwani baada ya kukamilisha hatua za kupiga kura.Zoezi la Upigaji kura Unguja na Pemba limefanyika katika hali ya Amani na utulivu mkubwa huku wananchi wakijitokeza kwa wingi katika vituo vya kupiga kura.

UTULIVU UMETAWALA KATIKA VITUO VYA KUHESABIA KURA.


DSC04102
Afisa wa kituo cha kupigia akibandika bango linaloonesha kuwa ni kituo cha kuhesabia kura baada ya kukamilika kwa zoezi la upigaji kura tarehe 25/10/2015.
DSC04118
Afisa wa kituo cha kuhesabia kura akikata vifungio vya sanduku la kura huku akishuhudiwa na mawakala wa vyama vya siasa kwa ajili ya kuanza zoezi la kuhesabu kura.
DSC04113
Mawakala wa vyama vya siasa vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu wakishuhudia kwa makini zoezi la kuhesabu kura baada ya kukamilika kwa upigaji  wa kura shehia ya Malind Mjini Zanzibar tarehe 25/10/2015.
DSC04121
Afisa wa kituo cha kuhesabia kura Malindi akizimwaga chini Karatasi za kura kwa ajili ya kuanza zoezi la kuhesabu kura.
DSC04123
Maafisa wa kituo cha kuhesabia kura wakihesabu kura za raisi Kwa jumla kabla ya kuzigawanya kwa mujibu wa vyama.
DSC04142
Maafisa wa kituo cha kuhesabia kura shehia ya Saateni wakihesabu kura kwa kuzigawa kwa kila mgombea kwa mujibu wa alivyopata.
Uchaguzi ya Zanzibar, uchaguzi ambao ulimpa Rais Dr Sheni asilimia 46% ya kura  na Makamo wa Rais Maalim Seif Kupata asilimia 52.87 ushindi alioshinda Mgombea wa CCM kwa  zaidi ya kura 25136..Hii ni kumbu kumbu inayofaa kuhifadhiwa kwa vizazi vijavyo.
MWENYEKITI WA ZEC ATANGAZA MATOEKO YA KURA
 
MAALIM SEIF ATOA MAJUMUISHO YA KURA ZAKE



BAADA YA MSHTUKO WA MAALIM KUTANGAZA KURA ZAKE MWENYE KITI WA TUME YA UCHAGUZI ATOWEKA NA KUTOKEZEA MAFICHONI KUTANGAZA UCHAGUZI UMEFUTWA.

CCM ZANZIBAR WACHANGANYIKIWA



JANUARY ,MAKAMBA AZUNGUMZIA UCHAGUZI WA ZANZIBAR


VIPI SERIKALI YA MUUNGANO ILISHIRIKI KUHALALISHA UFUTAJI WA MATOKEO YA UCHAGUZI WA ZANZIBAR BAADA YA MWENYEKITI WA ZANZIBAR KUFUTA USHINDI WA CUF .MWENYEKITI  WA TUME YA TAIFA JAJI LUBUVA HARAKA HARAKA ALITOKEZEA KWENYE TV KUSEMA KURA ZA MUUNGANO HAZIMO KWENYE UFUTAJI NI ZA ZANZIABR TU.

JAMES MBATIA AZUNGUMZIA UCHAGZUI WA ZANZIBAR


aLIEKUWA MWENYEKITI WA CUF lIPUMBA AZUNGUMZIA UFUTAJI WA UCHAGUZI WA ZANZIBAR



WANASHERIA WA ZANZIBAR WAZUNGUMZIA UFUTAJI WA UCHAGUZI NA UHALALI WAKE


ALIEKWUA MWANASHERIA MKUUU WA ZANZIBAR AELEZA KATIBA ILIVYOKIUKWA


WAZANZIBARI DUNIANI WAANDAMANA KUPINGA UAMUZI WA TUME

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MSHINDI WA URAIS WA ZANZIBAR SIKU MOJA KABLA YA KUMALIZA URAIS WAKE


MSHINDI WA URAIS WA ZANZIBAR AKUTANA NA RAIS MAGUFULI


No comments: