Sunday 23 August 2015

Maalim Seif achukua Fomu leo kugombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF


Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwa na mgombea wa Urais wa Tanzania Mh Edward Lowassa leo katika ukumbi wa Salama  Bwawani..Mh Lowassa alimsindikiza Maalim Seif Shariff Hamad kwenda kuchukua fomu.
 Viongozi na wageni maalum walimsindikizMgombea Urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kwenye hafla ya uchukuwaji fomu.Kutoka kushoto ni Bi Fatma Fereji, Mhe Abubakar Khamis Bakary, Mzee hassan Nassor moyo, Mgombea mweza wa Urais Tanzania, Mhe juma Duni na mgombea urais wa tanzania kupitia UKAWA mhe Edward Lowassa.

No comments: