Monday 13 June 2016

Mkutano wa Mallim Seif Washington DC leo .



Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad  akiongea jambo kujadili matokeo  ya uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba, 2015  kwenye mkutano ulioandaliwa na Centre for Strategic and International Studies (CSIS) siku ya Jumatatu June 13, 2016 ndani ya jengo  la (CSIS) liliopo Rhode Island Ave, NW jijini Washington DC. (Picha zote kwa hisani na 

Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akielezea hali halisi ya siasa za Zanzibar, katikati akiwa na Mkurugenzi wa CSIS  Afica Bi Jennifer G. Cooke, pamoja na aliekua balozi wa Marekani nchini Tanzania Mark Green, ambae sasa hivi ni  President, International Republican Institute

Aliekua balozi wa Marekani nchini Tanzania Mark Green, ambae sasa hivi ni  President, International Republican Institute, akionge siasa za Zanzibar.


Mkurugenzi wa  Africa ,Centre for Strategic and International Studies (CSIS) Bi Jennifer G. Cooke,akiongea maelezo kuhusu mkutano mzima uliofanyika siku ya Jumatatu June 13, 2016 ndani ya jengo  la (CSIS) liliopo Rhode Island Ave, NW jijini Washington DC.  

Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, pamoja na aliekua balozi wa Marekani nchini Tanzania Mark Green.

Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akijibu maswali 



Bi Mercedeh Momeni ambae ni Deputy Regional Director, Southern and East Africa, National Democratic Institute, akiongea jambo kuhusu mpango mzima wa mkutano huo






Baada ya kumaliza mkutano wa  (CSIS) jijini Washington DC




No comments: