Monday 24 August 2015

Dr Shein Achukua fomu za Urais huko Zanzibar leo




Shirika la Internews la Marekani laandaa mafunzo kwa waandishi juu ya kuripoti uchaguzi mkuu

1
Mkufunzi  na Mwandishi Mkongwe wa Tasnia ya Habari Zanzibar Salim Said Salim akitoa  mada katika mafunzo  ya  siku tano  juu ya kuandika Habari za Uchaguzi Mkuu yaliyoandaliwa na Shirika  la Habari la Marekani  Internews  kwa waandishi wa Habari wa Zanzibar katika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye Ulemavu Kikwajuni Mjini Zanzibar.

2
Mhadhiri wa Sheria, Kitivo cha Sheria Zanzibar University, Ali Uki akionyesha kitabu cha Sheria cha Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kitabu  cha Sheria cha Tanzania na cha Zanzibar  ambavyo  vinawapasa waandishi wa habari kuvisoma na kuzitumia sheria  hizo katika kuandika habari za Uchaguzi Mkuu kwa usahihi.
8
Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Zanzibar Leo Hafsa Golo akiwasilisha mada ya group lake katika mafunzo ya kuandika Habari za Uchaguzi Mkuu yaliyoandaliwa na Shirika la Habari la Ineternews la Marekani katika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Mjini Zanzibar.
5
Afisa Mwandamizi Baraza la Habari Tanzania Ofisi ya Zanzibar Shifaa Said Hassan akiwasilisha mada ya wajibu wa vyombo vya habari katika kuripoti Uchaguzi Mkuu katika mafunzo ya waandishi wa Habari yanayofanyika Ukumbi wa Umoja wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Mjini Zanzibar
4 
Baadhi ya waandishi wa habari walioshiriki mafunzo juu ya kuripoti Habari za Uchaguzi kutoka vyombo mbali mbali vya Serikali na binafasi wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwakilishwa.
6
Mtayarishaji na Mtangazaji wa vipindi wa Redio Zenj FM Mustapha Mussa akitoa mchango katika mafunzo hayo yanayofanyika Ukumbi wa watu wenye ulemavu Kikwajuni Zanzibar.
7
Washiriki wa mafunzo ya kuripoti Uchaguzi Mkuu wakiwa katika kazi za vikundi wakijadiliana katika kufanikisha mafunzo hayo.
 Maelfu ya Wananchi na wanaCCM wakimsikiliza Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao katika mkutano wa hadhara uliofanyikaviwanja vya Kibandamaiti Mjini Zanzibar.[Picha na Ikulu.]
Maelfu ya Wananchi na wanaCCM wakimsikiliza Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao katika mkutano wa hadhara uliofanyikaviwanja vya Kibandamaiti Mjini Zanzibar.[Picha na Ikulu.]

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza  na Wananchi na WanaCCM  katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu.]
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza  na Wananchi na WanaCCM  katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Shein akizungumza na wananchi na wanaCCM katika Mkutano wa Hadhara Kibandamaiti Mjini Zanzibar,.[Picha na Ikulu.]

Maelfu ya WanaCCM na Wapenda amani wakimuunga mkono Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCMZanzibar Dk.Shein akizungumza na wananchi na wanaCCM katika Mkutano wa Hadhara Kibandamaiti Mjini Zanzibar,.[Picha na Ikulu.]

No comments: