Thursday 29 October 2015

Wazanzibari wajiulize sasa Muungano upo kuwalinda wao ? au Madalali wanaoikandamiza Zanzibar jee bado tunahitaji Muungano huu ?

1Ni mjadala mkubwa wa kujiuliza jinsi vyombo vya Muungano vinavyotumiwa kudumaza demokrasia Zanzibar huu ni ushahidi tosha.


Hali  ya  Usalama  Zanzibarilikua  sio  nzuri, Polisi  wameizingira  Ofisi kuu  ya  CUF  baada  ya  mgombea  urais  wa  chama  hicho,Maalim Seif Sharif  Hamad  kujitangaza  mshindi  dhidi  ya  mpinzani  wake  ambaye  Dr All Mohamed  Shein.Hali  sio  nzuri katika mji wa Chake Chake, hii ni baada ya vijana   wa  CUF  kuingilia  barabarani  wakidai  wanashangilia  ushindi wa  mgombea  wao  wa  Urais.  


No comments: