Thursday 29 October 2015

WAGOMBEA WA UKAWA WALIOSHINDA UBUNGE HADI SASA



Mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia tiketi ya Chadema, Saed Kubenea ametangazwa rasmi mshindi katika jimbo hilo na kumshinda Dr.Didas Masaburi wa CCMmbo la Mlimba Suzan kiwanga wa Chadema ameshinda kwa kura 40,068


gombea Ubunge Jimbo la Mikumi (CHADEMA),  HAPO PICHA YA CHINI Joseph Haule (Prof Jay), ameshinda Ubunge kwa jumla ya kura 32259 na kutangazwa rasmi kuwa mshindi wa Jimbo hilo
Mgombea Ubunge wa jimbo la Singida Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Antiphas Mughwai Lissu ametangazwa rasmi mshindi katika jimbo hilo
Jimbo la Kilombro ameshinda  Peter Ambros Lijuakali wa Chadema ameshinda kwa kura 52,158

Jimbo la Babati mjini Pauline Gekuli wa Chadema ameshinda kwa kura 21,970

Jimbo la Moshi mjini Jaffari Michael wa Chadema ameshinda kwa kupata kura 51,646

Jimbo la Bukoba mjini Wilfred Lwakatare wa Chadema ameshinda

Tarime vijijini akishinda John Heche 

Jimbo la Hai Freeman Mbowe wa Chadema ameshinda

 Jimbo la Buyuni Kigoma ameshinda Kasuku Bilago wa Chadema

Mkinga ameshinda Dustan Kitandulu wa CUF

Jimbo la Tandahimba ameshinda Ahmad Katani wa CUF 

Jimbo la Moshi Mjini Japhary Michael wa Chadema

Jimbo la Monduli Julius Kalanga (Chadema)
 Jimbo Buyungu Bilago Samson Chadema) 
Jimbo la Mbeya Mjini: Joseph Mbilinyi wa Chadema 
Jimbo la Same Mashariki:Naghenjwa Livingstone Kaboyoka wa Chadema
Jimbo la Ndanda Cecil Mwambe wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) 
 Jimbo la Singida Mashariki: Tundu Lissu wa Chadema, 
KAMANDA - Ester N Matiko - Tarime Vijijini

KAMANDA - Ester Bulaya - Bunda Mjini
KAMANDA - Dk. Godwin Mollel- Siha
KAMANDA- Joshua Nassari- Arumeru Mashariki
KAMANDA - Frank Mwakajoka - Tunduma







No comments: