Sunday 20 March 2016

Magufuli kupewa uenyekiti wa CCM.


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndugu Abdulrahman Kinana amesema kuwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ametamka na tayari mawasiliano yamekwishafanyika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Joseph Magufuli kuridhia kuwa atapokea dhamana ya uongozi wa chama hicho ifikapo mwishoni mwa mwezi Juni, 2016.

No comments: