Thursday 4 June 2015

Baraza kuu lapitisha majina ya wagombea wa CUF upande wa Zanzibar


Mgombea uwakilishi Jimbo la Kiembe Samaki Mheshimiwa Mansour Yussuf Himid.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chama Cha Wananchi (CUF) Omar Ali Shehe akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uamuzi uliofanywa na Baraza Kuu la Chama hicho kuhusu wagombea
Chama Cha Wananchi (CUF) kimewatangaza wagombea ambao waliingia katika kinyanganyiro cha kuwania ubunge na uwakilishi baada ya kupita katika hatua zote kwa mujibu wa taratibu hizo ambapo uamuzi wa Baraza Kuu la Taifa limepitisha uamuzi wake na kuwateuwa baadhi ya wagombea hao, huku Maalim Seif Sharif Hamad akiwa amepita bila ya kupigwa kwa kura za siri 56 zote zilimpa kura ya NDIO bila ya kigugumizi. Kwa taarifa zaidi bofya hapa ili upate majina ya wajumbe wote.

WAGOMBEA WALIOTEULIWA NA CHAMA NAFASI ZA UBUNGE NA UWAKILISHI






JIMBO LA MJI MKONGWE

Ismail Jussa Ladhu (Uwakilishi)
Ali Abdalla Ali Saleh (Ubunge)
JIMBO LA JANG’OMBE

Ali Haji Mwadini (Uwakilishi)
Moh’d Yussuf Maalim (Ubunge)
JIMBO LA RAHALEO

(WAGOMBEA HAWAJAPATIKANA)

JIMBO LA KIKWAJUNI

Moh’d Khalfan Sultani (Uwakilishi)
JIMBO LA CHUMBUNI

Maulid Suleiman Juma (Uwakiilishi)
Omar Ali Khamis (Ubunge)
JIMBO LA KWAMTIPURA

Amina Rashid Salum (Uwakilisihi)
Abdi Seif Hamad (Ubunge)
JIMBO LA MAGOMENI

Yussuf Idrisa Mudu (Uwakilishi )
Ahmed Khamis Hamad (Ubunge)
JIMBO LA MPENDAE

Ali Hamad Ali (Uwakilishi)
Omar Moh’d Omar (Ubunge)
JIMBO LA AMANI

Khamis Rashid Abeid (Uwakilishi)
Khamis Silima Ame (Ubunge)
JIMBO LA KWAHANI

Hassan Juma Hassan (Uwakilishi)
Khamis Mussa Haji (Ubunge)
JIMBO LA MAGOGONI

Abdilahi Jihad Hassan (Uwakilishi)
Saleh Moh’d Saleh (Ubunge)

JIMBO LA BUBUBU

Juma Duni Haji (Uwakilishi)
Juma Khamis Juma (Ubunge)









JIMBO LA MFENESINI

Saleh Khamis Omar (Uwakilishi)
Hassan Othman Makame (Ubunge)
JIMBO LA MTONI

Nassor Ahmed Mazrui (Uwakilishi)
Ali Ame Ali (Ubunge)
JIMBO LA DOLE

Yussuf Omar Muhine (Uwakilishi)
Khamis Msabah Mzee (Ubunge)
JIMBO LA DIMANI

Moh’d Hashim Ismail (Uwakilishi)
Khalid Said Suleiman (Ubunge)
JIMBO LA KIEMBE SAMAKI

Mansour Yussuf Himid (Uwakilishi)
Moh’d Nassor Moh’d (Ubunge)
JIMBO LA MWANAKWEREKWE

Ussi Juma Hassan (Uwakilishi)
Ali Salum Khamis (Ubunge)
JIMBO LA FUONI

Sleiman Simai Pandu (Uwakilishi)
Moh’d Juma Aminia (Ubunge)
JIMBO L A NUNGWI

Hassan Jani Masoud (Uwakilishi)
Yussuf Haji Khamis (Ubunge)
JIMBO LA MATEMWE

Nahoda Khamis Haji (Uwakilishi)
Dunia Haji Pandu (Ubunge )
JIMBO LA MKWAJUNI

Haji Kesi Haji (Uwakilishi)
Khamis Masoud Nasor (Ubunge)
JIMBO LA CHAANI

Khamis Amour Vuai (Uwakilishi)
Khatib Ali Juma (Ubunge)
JIMBO LA TUMBATU

Makame Haji Makame (Uwakilishi)
Rashid Khamis Rashid (Ubunge)
JIMBO LA DONGE

Sleiman Ahmed Sleiman (Uwakilishi)
Kombo Moh’d Kombo (Ubunge)
JIMBO LA BUMBWINI

Zahran Juma Mshamba (Uwakilishi)
Moh’d Amour Moh’d (Ubunge)
JIMBO LA KITOPE

Hassan Khatib Kheir (Uwakilishi)
Mwinshaha Shehe Abdalla (Ubunge)
JIMBO LA UZINI

Asha Simai Issa (Uwakilishi)
Adam Ali Wazir (Ubunge)
JIMBO LA KOANI

Khamis Malik Khamis (Uwakilishi)
Shaaban Iddi Ame (Ubunge)
JIMBO LA CHWAKA

Arafa Shauri Mjaka (Uwakilishi )
Ali Khamis Ame (Ubunge)
JIMBO LA MAKUNDUCHI

(HAJAPATIKANA )

JIMBO LA MUYUNI

Asha Abdu Haji (Uwakilishi)
Baswira Hassan Suleiman (Ubunge)
JIMBO LA TUMBE

Mmanga Moh’d Hemed (Uwakilishi)
Rashid Ali Abdalla (Ubunge)
JIMBO LA MICHEWENI

Subeit Khamis Faki (Uwakilishi)
Haji Khatib Kai (Ubunge)
JIMBO LA KONDE

Issa Said Juma (Uwakilishi)
Khatib Said Haji (Ubunge)
JIMBO LA MGOGONI

Abubakar Khamis Bakar (Uwakilishi)
Juma Kombo Hamad (Ubunge)
JIMBO LA WETE

Dr, Suleiman Ali Yussuf (Uwakilishi)
Mbarouk Salum Ali (Ubunge)
JIMBO LA OLE

Hamad Masoud Hamad (Uwakilishi)
Rajab Mbarouk Moh’d (Ubunge)
JIMBO LA GANDO

Said Ali Mbarouk (Uwakilishi)
Othman Omar Haji (Ubunge)
JIMBO LA MTAMBWE

(UWAKILISHI HAJAPATIKANA)
Khalifa Moh’d Issa (Ubunge)
JIMBO LA KOJANI

Hassan Hamad Omar (Uwakilishi)
Hamad Salum Maalim (Ubunge)
JIMBO LA CHAKE CHAKE

Omar Ali Shehe (Uwakilishi)
Yussuf Kaiza Makame (Ubunge)
JIMBO LA CHONGA

Khamis Faki Marango (Uwakilishi)
Moh’d Juma Khatib (Ubunge)
JIMBO LA ZIWANI

Moh’d Ali Salum (Uwakilishi)
Ahmed Juma Ngwali (Ubunge)
JIMBO LA WAWI

Khalifa Abdalla Ali (Uwakilishi)
Juma Hamad Omar (Ubunge)
JIMBO LA CHAMBANI

Moh’d Mbwana Hamad (Uwakilishi)
Yussuf Salim Husein (Ubunge)
JIMBO LA KIWANI

Hija Hassan Hija (Uwakilishi)
Abdalla Haji Ali (Ubunge)
JIMBO LA MKANYAGENI

Tahir Aweis Moh’d (Uwakilishi)
Moh’d Habibu Juma Mnyaa (Ubunge)
JIMBO LA MKOANI

Seif Khamis Moh’d (Uwakilishi)
Ali Khamis Seif (Ubunge)
JIMBO LA MTAMBILE

Abdalla Bakar Hassan (Uwakilishi)
Masoud Abdalla Salim (Ubunge)

No comments: