Monday 14 December 2015

Wazanzibari walioko Sweden Waandamana kudai haki yao ya Kikatiba





  


  
Taswira za Maandamano ya waZanzibar Diasporan waTanzania pamoja na wapenda amani na Demokrasia kote ulimwenguni. leo Jumatatu Dec 14, wameandamana huko Stockholm Sweden kwenye Parlament (Riksdag) kutaka Bunge na Serikali ya nchi hiyo kuibana Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili iheshimu maamuzi ya wananchi wa Zanzibar waliyoyafanya kupitia Uchaguzi Mkuu wa tarehe 25 Oktoba, 2015.




  







No comments: