Thursday, 22 May 2025

East Afrika Kumekucha wiki hii sakata la Mama Samia vs Martha Karua na Boniface Mwangi

Kenya ya thibitisha Tanzania imemuachia Boniface Mwangi kosa kubwa Tanzania haijui nguvu ya ya Mwangi inayoweza kusambaa jeshi a lake la wanaharakati sasa Tanzania .

Alhamisi wiki hii, Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi, alithibitisha kuwa Mwangi aliachiwa. Hata hivyo, hakutoa maelezo zaidi kuhusu mazingira ya kuachiliwa kwake, akisema tu kuwa "tumejihusisha kidiplomasia, na ndivyo inavyofanyika."

Gazeti la Daily Nation linaripoti kuwa Mwangi alirudishwa Kenya kwa barabara na kutelekezwa katika mji wa Ukunda, karibu na mpaka wa Tanzania. Alikimbizwa hospitalini kwa uchunguzi, ambapo mkewe, Njeri Mwangi, alisema mumewe amejeruhiwa na miguu yake imevimba.



Secret reason Suluhu deported Karua and why Bongo hates Kenya. Welcome to the latest Kenya news, Kenya politics and more analyzed by veteran Kumekucha Chris for the real inside story; The Martha Karau deportation from Tanzania saga has sent shock waves across the continent. But the truth is that Most Kenyans have never had any idea about this in Tanzania.


  Waziri wa mambo ya nje wa Kenya Musalia Mudavadi amelithibitishia shirika la habari la AFP leo Alhamisi kwamba mwanaharakati maarufu, Bonifas Mwangi,ameachiliwa huru na maafisa wa Tanzania. 


No comments: