Kenya ya thibitisha Tanzania imemuachia Boniface Mwangi kosa kubwa Tanzania haijui nguvu ya ya Mwangi inayoweza kusambaa jeshi a lake la wanaharakati sasa Tanzania .
Alhamisi wiki hii, Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi, alithibitisha kuwa Mwangi aliachiwa. Hata hivyo, hakutoa maelezo zaidi kuhusu mazingira ya kuachiliwa kwake, akisema tu kuwa "tumejihusisha kidiplomasia, na ndivyo inavyofanyika."
Gazeti la Daily Nation linaripoti kuwa Mwangi alirudishwa Kenya kwa barabara na kutelekezwa katika mji wa Ukunda, karibu na mpaka wa Tanzania. Alikimbizwa hospitalini kwa uchunguzi, ambapo mkewe, Njeri Mwangi, alisema mumewe amejeruhiwa na miguu yake imevimba.
Waziri wa mambo ya nje wa Kenya Musalia Mudavadi amelithibitishia shirika la habari la AFP leo Alhamisi kwamba mwanaharakati maarufu, Bonifas Mwangi,ameachiliwa huru na maafisa wa Tanzania.
No comments:
Post a Comment